Basi la klabu ya Simba SC aina ya Yutong sasa lina muonekano mpya baada ya wadhamini wazamani TBL kupitia Kilimanjaro kumaliza mkataba wao na timu hiyo.
Mwonekano wake safari hii, kuna picha za wachezaji mbalimbali.
Picha: Muonekano mpya wa basi la timu ya Simba SC
Reviewed by mwabusila
on
1/24/2017 09:14:00 AM
Rating: 5