Ander Herrera wa Manchester United aitamani Tanzania
Kiungo wa klabu ya soka ya Manchester United, Ander Herrera ameitaja nchi ya Tanzania ni moja kati ya sehemu ambazo hajafika ambazo anatamani siku moja atembelee.
Ijumaa hii mchezaji huyo ambaye ni raia wa Hispania, aliwapa fursa mashabiki kuuliza maswali kupitia mtandao wa Twitter na yeye alikuwa akijibu moja kwa moja kwenye mtandao huo. Mmoja kati ya mashabiki alimuuliza mchezaji huyo, “Is there someone in the world you would like to visit where you havent been yet?” Bila ya kutegeme Herrera alijibu kwa kuandika, “Kenya , Tanzania , Colombia , Argentina … I still have to travel a lot.”
Ijumaa hii mchezaji huyo ambaye ni raia wa Hispania, aliwapa fursa mashabiki kuuliza maswali kupitia mtandao wa Twitter na yeye alikuwa akijibu moja kwa moja kwenye mtandao huo. Mmoja kati ya mashabiki alimuuliza mchezaji huyo, “Is there someone in the world you would like to visit where you havent been yet?” Bila ya kutegeme Herrera alijibu kwa kuandika, “Kenya , Tanzania , Colombia , Argentina … I still have to travel a lot.”