Header Ads

PropellerAds

Breaking News

Yvonne Chaka Chaka azungumzia collabo yake na Alikiba

Wimbo huo ambao tayari unasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa muziki Afrika hususan wa Alikiba, ulirekodiwa jijini Johannesburg. Alikiba tayari ameshaelezea hisia zake baada ya kufanya kazi na muimbaji huyo na kueleza kuwa ni heshima kubwa kwake.

“It was a great honor and pleasure to meet Mama Yvonne Chaka Chaka who I have loved and admired all my life,” aliandika kwenye Instagram.
“Thank you for hosting us and sharing your memories, advices and guidance. I am truly grateful and looking forward to our project,” aliongeza.
Na sasa Yvonne naye ametumia Instagram kuelezea collabo hiyo. Amedai kuwa amefurahi kufanya kazi na hitmaker huyo wa Aje.