Header Ads

PropellerAds

Breaking News

USAJIRI ULAYA:ZIDANE AZUNGUMZA NA MBAPPE

Zinedine Zidane ameshazungumza na Kylian Mbappe katika harakati zake za awali kumshawishi Mfaransa huyo kutua Real Madrid, kwa mujibu wa  L'Equipe .
 kwa ajili ya mchezaji huyo mahiri wa Monaco lakini Real Madrid wapo kwenye nafasi nzuri zaidi kumsajili kwani Florentino Perez anahitaji saini yake.

SPURS YAVUTIWA NA SUSO

Tottenham wanavutiwa kumsajili kiungo wa AC Milan Suso, Kwa mujibu wa  Marca .
Milan bado hawajamfunga kinda huyo wa zamani wa Liverpool kwa mkataba mpya San Siro,  na Mauricio Pochettino anataka kuhakikisha mchezaji huyo anatua London katika jitihada za kuunda kikosi thabiti cha ushindani Ligi ya Mabingwa.