Header Ads

PropellerAds

Breaking News

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefanya uteuzi wa Majina awamu ya pili Kwa Wanafunzi wa Kidato Cha Sita

Vijana hao wanatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT waliopangiwa kuanzia tarehe 14 Juni 2018 hadi tarehe 20 Juni 2018.

JKT linaendelea kusisitiza kuwa ni kosa la kisheria kwa mhitimu yoyote wa elimu ya kidato cha sita aliyeteuliwa kuhudhuria mafunzo ya JKT kwa Mujibu wa Sheria (Compulsory) kukaidi kuhudhuria mafunzo hayo.

Mkuu wa JKT anawakaribisha vijana wote walioteuliwa ili waweze kujiunga na vijana wenzao katika kujifunza Uzalendo, Umoja wa Kitaifa, stadi za kazi stadi za maisha na Utayari wa kulijenga na kulitumikia Taifa letu.

Orodha kamili ya majina ya vijana walioteuliwa awamu ya kwanza na awamu ya pili, vifaa wanavyotakiwa kwenda navyo na makambi waliyopangiwa vinapatikana kwenye tovuti ya JKT ambayo ni www.jkt.go.tz

BOFYA HAPA CHINI KUANGALIA MAJINA YA VIJANA WALIOCHAGULIWA MUJIBU AWAMU YA PILI 2018

BULOMBORA-KIGOMA       KANEMBWA-KIGOMA      

MARAMBA-TANGA              MGAMBO-TANGA             MLALE-RUVUMA

MSANGE-TABORA          MTABILA-KIGOMA          NACHINGWEA-LINDI