Header Ads

PropellerAds

Breaking News

VIDEO: “Wanaomkosoa JPM wana tatizo la Uzalendo” – Mapunda

Mbunge wa Mbinga Mjini Sixtus Mapunda alikuwa miongoni mwa Wabunge waliochangia mapendekezo kwenye Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini Bungeni leo June 1, 2017 ambapo alilieleza Bunge kuwa kuna baadhi ya wapinzani wamekuwa wakikosoa utendaji kazi wa Rais Magufuli ikiwemo sakata la Mchanga wa Madini.