Header Ads

PropellerAds

Breaking News

VIDEO: Kivuko Kipya kilichozinduliwa leo DSM

Good news kwa wakazi wa DSM hasa waishio Kigamboni leo June 5, 2017, ni kuhusu kivuko kipya ambacho kimekabidhiwa na kitatoa huduma katika eneo la Magogoni/Kigamboni sambamba na vivuko vya MV. Magogoni na MV. Kigamboni.
Unaambiwa kivuko cha MV Kazi kitakuwa kinatumia dakika mbili kuvusha watu ambapo kina uwezo wa kuchukua abiria 800 na magari madogo 22 ambapo kimetumia Tsh 7.3bn katika utengenezaji wake kikiwekwa pia kifaa maalum chenye uwezo wa kutambua kina cha maji.
Unaweza kubonyeza play hapa chini kutazama!!!