Header Ads

PropellerAds

Breaking News

BAADA YA UBINGWA CHELSEA, DIEGO COSTA ABAKI NA NGUO YA NDANI TU CHEKI HAPA

Chelsea wamefunga Wes Brom kwa bao 1-0 na kujihakikishia kubeba ubingwa wa Ligi Kuu England licha ya kubaki na mechi mbili mkonon. Furaha ya wachezaji wa Chelsea ilianzia uwanjani hadi vyumbani na mshambuliaji nyota wa Chelsea, Diego Costa yeye alijiachia kabisa kwa kubaki na nguo ya ndani.